• TANZAKILIMO TANZANIA

    Pata taarifa sahihi kuhusu kilimo na ufugaji,kwa weledi wa hali ya juu

  • WATAALA WA KILIMO NA UFUGAJI

    Tunakupatia ushauri wa kitaalam katika maswala yote ya kilimo na ufugaji,toka kwa wataalam wetu waliobobea kwenye nyanja nzima ya kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 675 117 151.

  • UNATAFUTA MASOKO YA MAZAO YAKO? UNATAFUTA MAZAO YA KUNUNUA?

    Tanzakilimo inakuunganisha na wakulima/wanunuzi na wadau wote wa maswala ya kilimo. Wasiliana nasi leo tukuunganishe na wadau....

Jumatano, 26 Aprili 2017

NJIA BORA ZA UTUNZAJI WA MAYAI YA KUKU

Kwa kawaida kuku huanza kutetea(Kutoa mlio wa ishara ya kutaga) anapofikisha miezi sita hadi minane. Hivyo ni vyema viota viandaliwe mapema wakiwa na umri wa miezi mitano. Kuku anapoanza kutaga akifikisha mayai matatu mfugaji anashauriwa kuondoa kila yai linalozidi hayo matatu kila siku linapotagwa...

UTUNZAJI WA VIFARANGA(KUKU WA KIENYEJI NA WA MAYAI)

Utunzaji wa vifaranga:- siku ya kwanza waweke katika brooder(banda la kuku)wape glucose kwa masaa sita hadi nane ya kwanza kurudisha nguvu iliyo poteabaada ya kuwapa glucose wape Esb3 au S-dime au amprolium kwa siku 1-3Siku ya 3-5 wape chick formula,Siku ya 6 wape maji peke yake,siku ya 7 wape NCD vaccine(New...

Ijumaa, 21 Aprili 2017

FAHAMU KILIMO BORA CHA MIHOGO CHENYE TIJA

Zao la muhogo ni  muhimu sana kwa Tanzania zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya zao la muhogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Umuhimu wa zao hili ni kutupatia cahakula na wakati mwingine kwa biashara. Kwa kanda ya kusini muhogo ni...

Jumatano, 19 Aprili 2017

AINA ZA NGOMBE WA MAZIWA

Ndugu msomaji leo nitakuletea kitu kipya na chenya manufaa sana ukikizingatia,hizi ni aina ya ng'ombe wa maziwa waliopo dunianiMAMBO YA KUZINGATIA KWENYE UCHAGUZI WA NG'OMBE MZURI WA MAZIWAUmbo : siku zote ngo'mbe wa maziwa anatakiwa awe na umbola pembe tatu, humpless pia awe na miguu imara pamoja na...

Matumizi ya Mbolea

Matumizi ya rutuba kwenye udongo } Mimea huchukua /huondoa virutubisho kutoka kwenye udongo kupitia kwenye mizizi. } Virutubisho vinavyotumika na nafaka kama (ngano, mahindi, mpunga, n.k) inageuzwa kuwa punje na sehemu kwenye masalia ya mimea. } Kwa upande wa mahindi ,kwa kila kilogramu 1000 ya mazao...

VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO

BILA shaka ubongo ni miongoni mwa viungo muhimu vya binadamu lakini ni watu wachache sana wanaoutilia maanani. Ubongo ndiyo kiungo kinachohusika na utendaji kazi wote wa mwili na ndiyo unaowezesha mwili kuishi maisha ya furaha au karaha.Hata hivyo, wakati mwingine utendaji kazi wa mwili unaweza kuwa...

Ijumaa, 14 Aprili 2017

KILIMO CHA BAMIA

 BAMIAAsili ya mboga hii ni Afrika ya Kati na ya Mashariki, lakini kwa sasa zao hili limekwisha enea katika sehemu nyingi za kitropiki, kama Visiwa vya Caribbean, Malaysia na Philipines.Urefu wa mmea huwa kati ya meta moja na mbili. Matunda yake hufikia urefu wa sentimeta 10 hadi 20, na huchumwa...