• TANZAKILIMO TANZANIA

    Pata taarifa sahihi kuhusu kilimo na ufugaji,kwa weledi wa hali ya juu

  • WATAALA WA KILIMO NA UFUGAJI

    Tunakupatia ushauri wa kitaalam katika maswala yote ya kilimo na ufugaji,toka kwa wataalam wetu waliobobea kwenye nyanja nzima ya kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 675 117 151.

  • UNATAFUTA MASOKO YA MAZAO YAKO? UNATAFUTA MAZAO YA KUNUNUA?

    Tanzakilimo inakuunganisha na wakulima/wanunuzi na wadau wote wa maswala ya kilimo. Wasiliana nasi leo tukuunganishe na wadau....

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo video. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo video. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 13 Septemba 2021

Maajabu ya Tikiti maji- Jinsi ya kupanda na kuvuna



Jumapili, 25 Julai 2021

Mashine ya kisasa ya kilimo ya kuzolea mbolea - Case IH Magnum 340 Hawe...




Jumamosi, 24 Julai 2021

Jinsi teknolojia ilivyobadili kilimo na ufugaji-New Technology Farming Machine, Amazing Farming Machine, Smart Farming t...



Teknolojia ya kilimo imekuwa kwa kiasi kikubwa. Kilimo kimekuwa cha kisasa sana siku hizi,haswa katika nchi zilizoendelea. 

Jumamosi, 17 Julai 2021

Jinsi ya kuvuna mahindi kwa njia ya jadi

Ujasiriamali huja na ubunifu,kitu ambacho kinaweza kuongeza tija kwenye kile unachofanya. Tazama ubunifu huu katika uvunaji wa mahindi.