
Ufugaji wa samaki unakua kwa kasi sana hapa nchini tanzania kutokana na kuonekana kua na faida sana. hivyo nimeamua leo nikupe elimu kidogo ambayo itakusaidia wewe mfugaji ambaye ungependa kujikita katika ufugaji huo.SIFA ZA ENEO LA KUFUGIA SAMAKISio kila mahali hufaa kwa ufugaji wa samaki, ila mahali...