Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150
-
Benki ya NMB imetangaza udhamini wa Sh milioni 150 kufanikisha msimu wa
nane wa Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi—CDF Cup 2026—yatakayofanyika
Dar es ...
-
TANZAKILIMO TANZANIA
Pata taarifa sahihi kuhusu kilimo na ufugaji,kwa weledi wa hali ya juu
-
WATAALA WA KILIMO NA UFUGAJI
Tunakupatia ushauri wa kitaalam katika maswala yote ya kilimo na ufugaji,toka kwa wataalam wetu waliobobea kwenye nyanja nzima ya kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 675 117 151.
-
UNATAFUTA MASOKO YA MAZAO YAKO? UNATAFUTA MAZAO YA KUNUNUA?
Tanzakilimo inakuunganisha na wakulima/wanunuzi na wadau wote wa maswala ya kilimo. Wasiliana nasi leo tukuunganishe na wadau....
Jumapili, 25 Julai 2021
Jumamosi, 24 Julai 2021
Jinsi teknolojia ilivyobadili kilimo na ufugaji-New Technology Farming Machine, Amazing Farming Machine, Smart Farming t...
Teknolojia ya kilimo imekuwa kwa kiasi kikubwa. Kilimo kimekuwa cha kisasa sana siku hizi,haswa katika nchi zilizoendelea.
Jumamosi, 17 Julai 2021
Jinsi ya kuvuna mahindi kwa njia ya jadi
Ujasiriamali huja na ubunifu,kitu ambacho kinaweza kuongeza tija kwenye kile unachofanya. Tazama ubunifu huu katika uvunaji wa mahindi.





