• TANZAKILIMO TANZANIA

    Pata taarifa sahihi kuhusu kilimo na ufugaji,kwa weledi wa hali ya juu

  • WATAALA WA KILIMO NA UFUGAJI

    Tunakupatia ushauri wa kitaalam katika maswala yote ya kilimo na ufugaji,toka kwa wataalam wetu waliobobea kwenye nyanja nzima ya kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 675 117 151.

  • UNATAFUTA MASOKO YA MAZAO YAKO? UNATAFUTA MAZAO YA KUNUNUA?

    Tanzakilimo inakuunganisha na wakulima/wanunuzi na wadau wote wa maswala ya kilimo. Wasiliana nasi leo tukuunganishe na wadau....

Jumatatu, 13 Septemba 2021

Fahamu sifa, faida na changamoto za ufugaji kuku wa asili

Kuku wa asili ni aina ya kuku ambao wamekuwepo nchini kwa muda wa miaka mingi na damu au koo zao hazikuchanganywa na aina yeyote ya kuku wa kienyeji. Kuku hawa wana rangi na maumbo mbalimbali.Kwa kawaida ufugaji wa kuku wa asili nchini Tanzania hufanywa na wafugaji wadogo wadogo wanaoishi kandokando...

Jumapili, 25 Julai 2021

Mashine ya kisasa ya kilimo ya kuzolea mbolea - Case IH Magnum 340 Hawe...

...

Jumamosi, 24 Julai 2021

Jinsi teknolojia ilivyobadili kilimo na ufugaji-New Technology Farming Machine, Amazing Farming Machine, Smart Farming t...

Teknolojia ya kilimo imekuwa kwa kiasi kikubwa. Kilimo kimekuwa cha kisasa sana siku hizi,haswa katika nchi zilizoendelea.&nb...

MASHINE ZA KISASA ZA KULIMIA-Jaguar 980 3x Tatra Phoenix Agro Truck Tractor Claas Arion 650 Gra...

...

Jumamosi, 17 Julai 2021

Jinsi ya kuvuna mahindi kwa njia ya jadi

Ujasiriamali huja na ubunifu,kitu ambacho kinaweza kuongeza tija kwenye kile unachofanya. Tazama ubunifu huu katika uvunaji wa mahin...

Jumatano, 26 Desemba 2018

KUWA MILIONEA KWA KULIMA TANGAWIZI

Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu (rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Asili ya zao hili ni maeneo ya kitropiki ya bara la Asia na hasa katika nchi za India na China. Zao hili linazalishwa kwa wingi kutoka katika nchi ya Jamaica. Hapa nchini zao hili...

Alhamisi, 6 Desemba 2018

viatamishi (incubators)

Wafugaji wengi wanaonesha kuvutiwa na njia ya utotoleshaji wa mayai unaofanywa na mashine maalumu za kutotolesha mayai maarufu kwa jina la viatamishi (incubators) .Wengi wana kiu ya kutaka kujua gharama, faida, hasara na upatikanaji wa mashine hizi.Kwa kuthamini mchango wa wafuatiliaji wa website hii,...