• TANZAKILIMO TANZANIA

    Pata taarifa sahihi kuhusu kilimo na ufugaji,kwa weledi wa hali ya juu

  • WATAALA WA KILIMO NA UFUGAJI

    Tunakupatia ushauri wa kitaalam katika maswala yote ya kilimo na ufugaji,toka kwa wataalam wetu waliobobea kwenye nyanja nzima ya kilimo. Wasiliana nasi kwa simu namba +255 675 117 151.

  • UNATAFUTA MASOKO YA MAZAO YAKO? UNATAFUTA MAZAO YA KUNUNUA?

    Tanzakilimo inakuunganisha na wakulima/wanunuzi na wadau wote wa maswala ya kilimo. Wasiliana nasi leo tukuunganishe na wadau....

Jumanne, 8 Februari 2022

kilimo cha ngano na faida zake

 kilimo cha ngano na faida zakeUtangulizi:Hapa nchini, zao la ngano linalimwa zaidi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, na Manyara, kwa upande wa kaskazini na Iringa, Mbeya na Rukwa kwa upande wa kusini. Ngano ni zao la tatu la umuhimu la chakula hapa nchini. Bidhaa mbalimbali za chakula zinazotengenezwa...